HILI NA LILE NA TANAPA
Afisa Uhifadhi Mkuu Catherine Mbena na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano TANAPA, pamoja na Afisa Uhifadhi Mkuu, Cecilia Mtanga kutoka Kitengo cha Rasilimali Watu TANAPA wakizungumzia mchango wa Wanawake katika Maendeleo ya Hifadhi za Taifa Nchini kupitia kipindi cha *HILI NA LILE na TANAPA.*
#WanawakeNaWasichana2025
#TuimarisheHakiUsawaNaUwezeshaji.